ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). Likelihood: MEDIUM Impact: MEDIUM Impact expected: Disruption of some economic and marine activities. Be prepared.
The Residents of high risk areas are advised TO TAKE preventive measures. TMA will continue to monitor the situation and issue updates when necessary.
ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wote wa pwani ya Bahari ya Hindi(mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam na pwani(ikijumuisha visiwa vya mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI Athari zinazoweza kujitokeza: Kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi, uvuvi na usafirishaji baharini. Zingatia na jiandae.
Wakazi wa maeneo hatarishi wanashauriwa kuchukuwa hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuzingatia na kujiandaa.
Avertizările de vreme severă sunt furnizate către meteoblue de peste 80 de agenții oficiale din întreaga lume. meteoblue nu își asumă nicio responsabilitate privind conținutul sau natura avertizărilor. Problemele pot fi raportate prin intermediul formularului nostru de feedback și vor fi transmise instituțiilor competente.