ANGALIZO ya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Dar es salaam, Pwani(ikihusisha visiwa vya Mafia), Tanga, Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba). UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI. KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI. Athari zinazoweza kujitokeza: Kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi, uvuvi na usafirishaji baharini. ZINGATIA NA JIANDAE.
Wakazi wa maeneo hatarishi wanashauriwa kuchukuwa hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuzingatia na kujiandaa.
Waarschuwingen voor noodweer worden door meer dan 80 officiële agentschappen wereldwijd aan meteoblue verstrekt. meteoblue draagt geen enkele verantwoordelijkheid met betrekking tot de werkelijke inhoud of aard van de waarschuwingen. Problemen kunnen worden gemeld via ons Feedbackformulier en zullen worden doorgegeven aan de juiste instanties.