ANGALIZO ya upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa ziwa Viktoria (mikoa ya Kagera, Geita, Simiyu na Mara). UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI. KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI. Athari zinazoweza kujitokeza: Kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi, uvuvi na usafirishaji baharini. ZINGATIA NA JIANDAE.
Wakazi wa maeneo hatarishi wanashauriwa kuchukuwa hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuzingatia na kujiandaa.
Severe weather warnings are provided to meteoblue by more than 80 official agencies worldwide. meteoblue does not bear any responsibility regarding the actual content or nature of the warnings. Issues can be reported through our Feedback form and will be transmitted to the appropriate instances.